• Wajane au mjane hurithi ? kama marehemu ameacha watoto • Wajane au mjane hurithi Ľ kama marehemu hakuacha watoto • Wazazi hupewa ? ya salio baada ya kuondoa fungu la mjane au wajane • Mali inayobaki hugawanywa katika mafungu matatu. Watoto wa kiume hupata mafungu mawili na watoto wa kike hupata fungu moja • Mgane hupewa Ľ ya mali ya marehemu mke wake kama kuna watoto au ˝ kama hakuna watoto.