Njia Rahisi Na Ya Haraka Kupata Msaada Wa Kisheria Kiganjani Mwako
Kwa mujibu wa kifungu cha 8 cha Kanuni ya Adhabu (The Penal Code), Sura ya 16 ya Sheria za Tanzania ...
Kuhakikisha kuwa hakuna Mtanzania anayekosa haki yake ya kisheria kwa sababu ya kutokuwa na uelewa na/au....
Tunatambua, Jamii ambayo watu wake wanafahamu masuala ya sheria inayo nafasi kubwa ya .....
Kwa Msaada wa kisheria wa uhakika na wa ushindi wa masuala yote ya kisheria wasiliana nasi kupitia ....
Uzoefu unaonesha kuwa, matatizo mengi hujitokeza katika familia au koo pale mtu anapofariki. Matatizo hayo hutokana na kutokujua taratibu za kusimamia na kugawamaliza marehemu kwa warithi wanaotambulika kisheria.
Hizi ni haki ambazo mtu anazipata mara tu anapozaliwa, na anaendelea kuwa nazo hadi kifo chake. Kwa maneno mengine, kitendo cha kuzaliwa ukiwa mwanadamu na si kiumbe kingine kinakupa moja kwa moja haki fulanifulani ambazo viumbe vingine havina
Ardhi ni Mali. Mali ni kitu au bidhaa yoyote yenye thamani. Kiwango cha thamani ya mali kinaweza kutofautiana kutoka mtu mmoja hadi mwingine, ama kutoka eneo moja kwenda eneo lingine