Kwanza lazima mtoa ushududa huo awe kweli kafariki, tofauti na hapo ushahidi huo haukubaliki, maelezo yanayotolewa yanapaswa kuwa na mahusiano na tukio husika katika shauri, chanzo cha kifo kinatakiwa kuwa moja ya mambo yanayotatuliwa katika shauri husika.