Ni kwa njiia ya kuomba katika ardhi ya jumla au ya kijiji. Katika ardhi ya jumla kamishina akiishajiridhisha na uhalali wa maombi anakugawia ardhi hiyo. Katika ardhi ya kijiji, serikali ya kijiji ndiyo yenye mamlaka ya kugawa ardhi kwa ridhaa ya mkutano mkuu wa kijiji